Connect with us

Hi, what are you looking for?

Swahili

Madai ya mpango wa kuangamiza Naibu rais ni upuuzi

Wabunge kutoka eneo la Mlima Kenya wanakana madai ya mpango wa kuuwa Naibu rais, William Ruto

Wabunge wa Mlima Kenya wapinga madai ya kuuwa William Ruto
Wabunge wa Mlima Kenya wapinga madai ya kuuwa William Ruto

SEHEMU ya wabunge kutoka eneo la Mlima Kenya wamepinga  madai kwamba mawaziri kutoka eneo hilo wamekuwa na njama ya kumwangamiza Naibu rais, William Ruto.

Kwa mujibu wa wabunge hao watetezi, wanaoibua madai hayo wana malengo ya kuchochea jamii nyingine nchini Kenya kutenga Mlima Kenya, huku wakisisitiza kwamba mawaziri hao hawajafanya mpango wowote wa mauaji.

Wabunge hayo waliongozwa na mbunge wa Neyri mjini Ngunjiri Wambungu wengine wakiwemo Ruth Mwaniki (Kimumo), Joseph Nduati (Gatanga), Maoka Maore (Igembe),Gathoni Wamuchonba (Kiambu) na mbunge wa Kiambaa Paul Koinange.

Aidha, madai hayo ya mauji yameibua hisia mbali mbali miongoni mwa wakenya, huku wengine wakishikilia kwamba barua iliyoenezwa mitandaoni yana ukweli fulani. Kwa upande mwingine, kunao wakenya ambao wanasema kwamba madai hayo ni ya kuyumbisha uongozi wa Rais Uhuru Kenyatta.

Subscribe to watch latests videos
Click to comment

You May Also Like

News

(KDRTV) – Popular and controversial man of the cloth Pastor James Ng’ang’a of the Neno Evangelism Centre has a serious battle in his hands...

Entertainment

(KDRTV) – Zari Hassan is a Ugandan socialite and entrepreneur based in South Africa. She was married to the Late Uganda tycoon Ivan Don...

News

A high-ranking government official in Tanzania has claimed that Dr. John Pombe Magufuli was killed by the Chinese in collaboration with the Western Countries

News

(KDRTV) – As a member of the commonwealth nations, Kenya has an almost identical military structure to that of the British Army. Today we...