Connect with us

Hi, what are you looking for?

Swahili

Mwanamke amuua mwanawe

images 2
images 2

Askari wamemtia mbaroni mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 30. Mwanamke huyu anadaiwa kumuua mwanawe wa miaka mitatu kwa kumpa sumu katika kaunti ya Migori.

Akizungumza, kamanda wa polisi katika kaunti hiyo,Joseph Nthenge amesema kuwa mshukiwa huyo anayefahamika kama Faith Akinyi alijaribu kunywa sumu hiyo lakini alinusurika kifo alipofikishwa hospitalini.

READ ALSO: Waziri wa fedha matatani

Katika barua iliyopatikana katika nyumba ya mshukiwa huyo,Faith amedai kuwa chanzo cha yeye kutaka kuyachukua maisha yake ni kuwa mumewe ameitelekeza familia yake.

Mwanamke huyo anadaiwa kuwa alimpa sumu mwanawe kisha akanywa sumu hiyo mwenyewe kabla ya wawili hao kupelekwa katika hospitali ya Akidiva ambapo mwanawe alifariki.

Kulingana na familia ya mwanamke huyu, sio mara ya kwanza kwa mwanamke huyo kujaribu kuyachukua maisha yake.

Subscribe to watch latests videos
Click to comment

You May Also Like

News

(KDRTV) – Popular and controversial man of the cloth Pastor James Ng’ang’a of the Neno Evangelism Centre has a serious battle in his hands...

Entertainment

(KDRTV) – Zari Hassan is a Ugandan socialite and entrepreneur based in South Africa. She was married to the Late Uganda tycoon Ivan Don...

News

A high-ranking government official in Tanzania has claimed that Dr. John Pombe Magufuli was killed by the Chinese in collaboration with the Western Countries

News

(KDRTV) – As a member of the commonwealth nations, Kenya has an almost identical military structure to that of the British Army. Today we...