Connect with us

Hi, what are you looking for?

News

Maafisa waufukua mwili wa kijana kuchukua sare za kazi alizozikwa nazo

burial
burial

Mnamo Agosti tarehe 11, Martin Shikuku Alukoye, alizikwa akiwa na sare zake za huduma ya vijana wa kaunti ya Kakamega baada ya kufa maji.

Siku moja baadaye, maafisa wa eneo hilo la Kakamega waliiandama familia yake wakitaka sare za huduma ya vijana alizozikwa nazo.

Baada ya na familia hiyo kupinga ombi hilo, maafisa hao waliufukua mwili wake na kuchukua sare hizo.

Akizungumza, mjomba wa mwendazake amesema kuwa maafisa hao wamekiuka tamaduni zao na sheria za nchi kwa kuufukua mwili wake bila amri ya korti.

TAZAMA PIA: Mwanamke amuua mwanawe http://www.kdrtv.co.ke/swahili/mwanamke-amuua-mwanawe/

Naibu wa chifu katika eneo la Ituti ameahidi kuchukua hatua kali dhidi ya maafisa hao kwani lazima mtu awe na amri ya korti ili aweze kuufukua mwili wa mtu yeyote.

Mwili huo ulivishwa nguo na kuzikwa tena baada ya familia ya mwendazake kufanyiwa tambiko za utakaso.

Subscribe to watch latests videos
Click to comment

You May Also Like

News

(KDRTV) – Popular and controversial man of the cloth Pastor James Ng’ang’a of the Neno Evangelism Centre has a serious battle in his hands...

Entertainment

(KDRTV) – Zari Hassan is a Ugandan socialite and entrepreneur based in South Africa. She was married to the Late Uganda tycoon Ivan Don...

News

A high-ranking government official in Tanzania has claimed that Dr. John Pombe Magufuli was killed by the Chinese in collaboration with the Western Countries

News

(KDRTV) – As a member of the commonwealth nations, Kenya has an almost identical military structure to that of the British Army. Today we...