Connect with us

Hi, what are you looking for?

Health

Kirusi Korona Chaenea Kwa Kasi, Rais Xi Jinping Aonya

Death Toll Rises As Coronavirus Spreads In China
Death Toll Rises As Coronavirus Spreads In China

Rais wa Uchina Xi Jinping amekiri kwamba kirusi korona chaenea kwa kasi mno na sasa nchi inakumbwa na hali hatari

Kirusi Korona kimewauwa zaidi ya watu 56 na takriban watu 2, 000 wameambukizwa tangia mlipuko wa ugonjwa huo.

Ripoti zilizothibitiwa zinaarifu kwamba kesi 1,200 zimerokodiwa katika majimbo 29 nchini Uchina

Inaaminiwa kwamba chanzo cha mlipuko huo ni mji wa Wahun ambako mamia ya wafanyikazi wa afya wamepelekwa

Marekani sasa imetangaza kwamba itawaondoa wahudumu wake Wahun kupitia ndege maalum ili kuwasafirishwa had San Fransisco

Hata hivyo, watafiti ambao wana makao yao UK wameeleza hofu yao kwamba Uchina huenda ikashindwa kudhabiti kuenea kwa kirusi korona

Sasa hivi, vikwazo vya usafiri vimekumba miji mbali mbali nchini Uchina kuzuia kuenea kwa ugonjwa huo.

Vile vile, kirusi hicho kimeweza kuenea katika nchi nyingine kama vile Marekani, Ufaransa na Australia.

Uchina sasa inajenga hospitali ambayo itakayomudu vitanda 1000 ili kukumbana na kirusi hicho.

Subscribe to watch latests videos
Click to comment

You May Also Like

News

(KDRTV) – Popular and controversial man of the cloth Pastor James Ng’ang’a of the Neno Evangelism Centre has a serious battle in his hands...

Entertainment

(KDRTV) – Zari Hassan is a Ugandan socialite and entrepreneur based in South Africa. She was married to the Late Uganda tycoon Ivan Don...

News

A high-ranking government official in Tanzania has claimed that Dr. John Pombe Magufuli was killed by the Chinese in collaboration with the Western Countries

News

(KDRTV) – As a member of the commonwealth nations, Kenya has an almost identical military structure to that of the British Army. Today we...