Enter aussie play casino app, where glamorous slots and sparkling bonuses create nonstop excitement. Every spin delivers luxurious wins and high-class thrills.

At kingbilly casino, enjoy vibrant gameplay, dazzling slots, and bountiful rewards. Each moment promises elegance, excitement, and unforgettable victories.

Discover ricky casino, where thrilling gameplay and lavish bonuses combine for a premium casino experience. Every spin delivers excitement, luxury, and spectacular wins.

Experience aussie play casino mobile, a high-class casino offering dazzling visuals and generous rewards. Each spin is filled with thrills, elegance, and unforgettable wins.

Connect with us

Hi, what are you looking for?

Swahili

Waziri wa fedha matatani

panszavutwfmhovu5d358a43a4304
panszavutwfmhovu5d358a43a4304

Waziri wa fedha Hery Rotich na katibu wake Kamau Thugge wamejisalimisha kwa makachero wa DCI Nairobi.

Bwana Henry Rotich yuko kati ya maafisa wengine 26 ambao imeamrishwa na mkurugenzi wa mashtaka ya umma, Noordin Haji, wakamatwe.

Watu hao wamekamatwa kufuatia tuhuma ya kuwa wamehusishwa katika sakata ya mabwawa ya Kimwarer na Arror.

Kati ya wengine ambao wamekamatwa ni kaimu afisa mkuu wa shirika la KVDA Francis Kipkech na David Onyango.

Washukiwa wengine katika sakata hiyo ni katibu katika wizara ya Afrika Mashariki Susan Kipkoech, mkurugenzi wa Nema Geoffrey Wakhungu, Kennedy Nyachiro na Jackson Kinyanjui wote kutoka wizara ya fedha, Moses Kipchumba, Nelson Korir, Isaac Kiiru, Patrick Kipsang, Frederick Towett, Jotham Ruto, Charity Muui, na David Ongare walioketi kwenye kamati ilioidhinisha kandarasi ya ujenzi wa mabwawa hayo ya Arror na Kimwarer.

Kulingana na Bwana Noordin, upo ushahidi wa kutosha unaoonyesha kuwa watu hawa walihusika katika kupora fedha hizo.

Wakifikishwa mahakamani watajibu mashtaka ya kutumia ofisi za umma vibaya na kujihusisha katika njama ya kutapeli pamoja na mashtaka mengine.

Madai ya mpango wa kuangamiza Naibu rais ni upuuzi

k

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

You May Also Like